Posts

Showing posts from December, 2020

VERBS

Image
  Meaning of verbs      According Cambridge Dictionary . Difine verb as a word or phrase that describe an action ,condition or experience .   Collins dictionary .Verb are words that allows us to talk about activities ,process, state of being and states of mind.  A verb is that part of a sentence which indicates an action or a state of being carrid out by the subject.It is the most important element in the clause structure .This is because it gives meaning to the sentence,and it is mandatory in a sentence. Example of verb play ,go,speak,watch etc .                  VERB CLASSIFICATION We divide verbs into two classifications: • Lexical verb(main verb) • Auxiliary verb (helping verb)            Lexical Verb  Lexical Verb are also called" main verb "because they carry lexical meanings.There are thousand of main verb,and we can classify in several ways:   Transitive and Intransitive verbs A transitive verb takes a direct object : Somebody   killed the President .An intransive v

UANDISHI WA KADI ZA MIALIKO

Image
  K adi za mialiko zinaandikwa kwa watu mbalimbali kwenye shughuli mbalimbali. Shughuli hizo ni kama vile sherehe,vikao au changizo.                                                              VPENGELE VYA KUZINGATIA KATIKA                        KADI YA MIALIKO  Jina la mwalikaji Jina la mwalikwa  Lengo la mwaliko  Tarehe, siku na saa ya shughuli inayohusika. Mahala pa shughuli hiyo. Mawasiliano.      Kadi ya Mwaliko huwa ni karatasi ngumu ya rangi ambamo huandikwa kwa namna ya kuvutia na husheheni rangi na michoro ya kuvutia, kama vile maua na picha tofauti ya vitu.         Namna ya kuandaa kadi ya mialiko                     Mfano wa kadi za mialiko :